Leo Septemba 29 2016 naomba nikusogezee TBT Picha za utoto za mchezaji ghali zaidi duniani Paul Pogba.
Kama humfahamu Paul Pogba ni jamaa ambaye alizaliwa Lagny-sur-Marne wazazi wake wakiwa wametokea Guinea, katika soka Pogba ana ndugu zake wawili ambao wote wanacheza soka pia, kaka yake Mathias anachezea timu ya taifa yaGuinea.
Pogba wa pili kutoka kushoto waliosimama
Pogba wa katikati na kaka zake
Pogba wa kwanza kushoto
Pogba wa kwanza kushoto
Toa Maoni Hapa Chini
0 comments:
POST A COMMENT