MAJI NI MACHAFU MNO NCHINI CHINA. | bongo satellite.
Breaking News
Loading...

Tuesday, 12 April 2016

MAJI NI MACHAFU MNO NCHINI CHINA.

Image copyrightDevidas deshpandey
Image captionMaji ya visima nchini China ni machafu mno
Serikali ya China inasema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya maji ya maji ya kina kifupi yaliyo chini ya ardhi ni machafu mno na hata hayaweza kutumiwa kwa kunywa wala kuoga.
Wizara inayoshughulikia maji nchini China ilifanyika uchunguzi wa zaidi ya visima 2000 eneo la mashariki, na kugundua kuwa takriban asilimia 30 ya visima hivyo ndivyo vinaweza kutumiwa kwa kilimo na viwandani.
Karibu asilimia 50 ya sampuli za maji haitatumiwa na binadamu. Maafisa nchini China wameuhakikishia umma kuwa kiwango kikubwa cha maji kinachotumiwa mijini hutokana na kirefu chini ya radhi.
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

0 comments:

POST A COMMENT