TUME YA MIPANGO YAENDESHA MAFUNZO KWA MAAFISA MIPANGO NA WACHUMI JIJINI MBEYA. | bongo satellite.
Breaking News
Loading...

Tuesday, 20 September 2016

TUME YA MIPANGO YAENDESHA MAFUNZO KWA MAAFISA MIPANGO NA WACHUMI JIJINI MBEYA.


m1
Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri akifungua mafunzo ya Mwongozo wa Uwekezaji na Usimamizi wa Miradi ya Umma yanayoendelea katika ukumbi wa Halmashauri ya jiji la Mbeya. Kushoto kwake ni Mhandisi Happiness Mgalula Naibu Katibu Mtendaji anayesimamia Klasta ya Miundombinu na Huduma na Dkt. Joihn Mduma, Mhadhiri Mwandamizi kutoka chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kulia kwa mgeni rasmi ni Dkt. Lorah Madete, Kaimu Nibu Katibu Mtendaji, anayesimamia Klasta ya Uchumi Jumla.
m3
m4
Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wakimsikiliza mgeni rasmi (hayumo pichani)
m2
Washiriki wa mafunzo hayo kutoka mikoa ya Mbeya, Ruvuma, Songwe, Iringa na Njombe wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi. 
Mjengwa Blog.
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

0 comments:

POST A COMMENT