Kama Neymar angehama FC Barcelona, angekuwa mchezaji anayelipwa zaidi. | bongo satellite.
Breaking News
Loading...

Saturday, 10 September 2016

Kama Neymar angehama FC Barcelona, angekuwa mchezaji anayelipwa zaidi.


September 9 2016  wakala wa mshambuliaji wa na nahodha wa timu ya taifa ya Brazilanayeichezea FC Barcelona Neymar, ameweka wazi kuwa staa huyo alikuwa ahame katika kipindi hiki cha usajili cha majira ya joto.
Wakala wa Neymar anayejulikana kwa jina la Wagner Ribeiro ameweka wazi kuwa staa huyo alikuwa ajiuge na vilabu vya Man United au Paris Saint Germain ya Ufaransa, kwani vilionesha dhamira ya wazi ya kuhitaji huduma ya staa huyo.
Wagner Ribeiro ameeleza kuwa kabla ya Neymar kuongeza mkataba wa miaka mitano wa kuitumikia FC Barcelona, alikuwa ajiunge na PSG au Man UnitedWagner Ribeiroameeleza kuwa PSG walikuwa wanataka kumlipa Neymar mshahara wa euro 770,000 kwa wiki ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 1.8.
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

0 comments:

POST A COMMENT