UKUTA: Upinzani waahirisha maandamano Tanzania. | bongo satellite.
Breaking News
Loading...

Wednesday, 31 August 2016

UKUTA: Upinzani waahirisha maandamano Tanzania.

Viongozi wa upinzani wakati wa kikao na wanahabari Dar es Salaam

Image captionViongozi wa upinzani wakati wa kikao na wanahabari Dar es Salaam
Muungano wa vyama vya upinzani nchini Tanzania umeahirisha maandamano ya kitaifa ambayo yalikuwa yamepangiwa kufanyika kesho.
Viongozi wa upinzani, akiwemo Edward Lowassa wa Chadema, wametangaza hatua hiyo kwenye kikao na wanahabari Dar es Salaam.
Wamesema wameahirisha maandamano hayo kwa kipindi cha mwezi mmoja baada ya kusikia ombi la viongozi wa kidini na wadau wengine waliowaomba kukumbatia na kuyapa muda mazungumzo.
BBC.
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

0 comments:

POST A COMMENT