SOMALIA:AL SHABAB LADAI KUWAUA WAPELELEZI WA KENYA NA US. | bongo satellite.
Breaking News
Loading...

Saturday, 11 June 2016

SOMALIA:AL SHABAB LADAI KUWAUA WAPELELEZI WA KENYA NA US.

Image copyrightAP
Image captionwapiganajia wa kundi la Kigaidi la al-Shabab
Kundi la wanamgambo nchini Somalia, al-Shabab, wanasema wamewaua watu watatu kwa kuwapiga risasi na kumchinja shingo mwingine, baada ya kupatikana na hatia ya kuwa majasusi wa mashirika ya ujasusi ya Kenya na Marekani.
Mauaji hayo yalitekelezwa mbele ya umati wa watu katika mkoa wa Bakool.
Image copyrightAFP
Image captionAhmed Godane
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

0 comments:

POST A COMMENT