NEEMA KUBWA KWA KENYA . KIWANDA KIKUBWA CHA MAGARI NA PIKIPIKI KUJENGWA KENYA. | bongo satellite.
Breaking News
Loading...

Thursday, 8 September 2016

NEEMA KUBWA KWA KENYA . KIWANDA KIKUBWA CHA MAGARI NA PIKIPIKI KUJENGWA KENYA.



















Uhuru  Kenyatta  akiwa  na  viongozi   wa  kampuni  ya  Volkswageni.

Uhuru Kenyatta akiwa na viongozi wa kampuni kubwa ya magari Volkswagen Group Nchini Kenya ambapo kampuni hiyo amekubali kuanzisha kiwanda kikubwa chini Kenya.
kiwanda hicho kitajengwa maeneo ya THIKA nchini Kenya.
Uhuru Kenyatta ametamba kuwa hii ni mikakati ya kuhakikisha kenya inakuwa nchi ya viwanda chini ya utawala wake/
Kampuni  hiyo  imesema  itajenga kiwanda  kikubwa  cha magari  na {piki piki  ]nchini  Kenya,  Hakika  itakuwa  ni  neema  kwa  wakenya  wengi.


 

 POST KWA HISANI YA www.tanzaniaclassic.com
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

0 comments:

POST A COMMENT