Getty
Imeripotiwa kuwa Mchezaji wa criketi wa Australia Piepa Cleary anakabiliwa na adhabu ya miezi sita baada ya kujihusisha na upangaji wa matokeo huku akishtumiwa kupokea rushwa ya dola 15 na nusu ambayo ni sawa na pauni 7. katika mechi kati ya Australia na New Zealand.
Mnamo mwezi Desemba mwaka jana Angela Reakes, alisimamishwa kwa muda wa miaka miwili baada ya kuhusika katika upangaji wa matokeo katika michuano ya mwaka 2015 ya dunia
Toa Maoni Hapa Chini
0 comments:
POST A COMMENT